Skip to content
Home » WENYE AZMA THABIT ZAIDI MIONGONI MWA MITUME pdf download

WENYE AZMA THABIT ZAIDI MIONGONI MWA MITUME pdf download

Book Title Wenye Azma Thabit Zaidi Miongoni Mwa Mitume 2
Book AuthorAL MUSTAKSHIF ABU MANAL DANAH
Total Pages999
Book Views

Loading

LanguageEnglish
Book DownloadPDF Direct Download Link
Get HardcoverClick for Hard Similar Copy from Amazon

WENYE AZMA THABIT ZAIDI MIONGONI MWA MITUME – SEHEMU YA PILI

ULU AL A’AZMI MINA ALRRUSUL

AL MUSTAKSHIF ABU MANAL DANAH

أولوا العزم من الرسل

WENYE AZMA THABIT ZAIDI MIONGONI MWA MITUME

Sura ya kwanza

Bila ya shaka katika aya za Qur’an nilizoanza nazo ndani ya kitabu hiki na nyenginezo

nyingi zilizomo ndani ya Qura’an tumeona kua Allah Subhanah wa Taála ametuwekea

wazi kua ndani ya kitabu chake mna muongozo wa kina wa kila kitu katika maisha yetu,

ikiwemo pia Muongozo dhidi ya matatizo mbali mbali ya kidunia na kiakhera, lakini hata

hivyo kamwe hatutoweza kuikimbia hali ya matatizo tuliyokua nayo wakati bado tukiwa

ni wenye kuutupa ufunguo unaofungua mlango wa utatuzi wa matatizo hayo, 

ufunguo ambao si mwengine bali ni Qurán yenyewe ambayo ndani yake hamna Muongozo tu,

lakini pia mna Kinga, Rehma na Tiba pia ya maradhi tofauti kuanzia ya Kimwili,Kinyoyo, Kinafsi, Kiroho n.k kama inavyoweka wazi aya ifuatayo:

ونترل من القرآن ما هو شفاء ورمة المؤمنين ولا يزيد الظليين إلا

خسارا

Wanunazzilu mina alqur-ani ma huwa shifaon warahmatun lilmu/mineena wala yazeedu aldhdhalimeena illa khasaran (Surat Al Isra 17:82)

Tafsir: Na tumeiteremsha hii Qur’an ndani yake mkiwa na Tiba na Rehma kwa Walioamini, lakini kwa Madhalimu haiwanufaishi na chochote isipokua Hasara.

camini, lakini kwa Mare Anasema Sultan al Mutakallimin Muja Naam aya imetumia neno Shifaun ambalo ni lenye kutokana na neno Shafa. 

Na kwa kilugha basi neno Shafa hua ni lenye kumaanisha Kuponya, Kutibu, Kurudisha Afya,

Kuridhisha, Kurudisha katika hali yake ya Asili au ya Kimaumbile, na ndio maana wenye Lugha yao hua wanasema: 

Shaf’ahu aAn Al Mas-alati kumaanisha kua Amemuondolea Mashaka na kumridhisha Nafsi yake juu ya Jambo fulani.

 Imam Abu Abd Allah Muhammad Ibn Umar Ibn Al Husayn Al Taymi Al Bakri Al Tabaristan Fakhr Ad Din Al Razi Al Shafii kuhusiana na ayah hii kua: Quran ni Tiba ya Kitabia, Kijamii, Kiroho na

Kiafya pia. 

Na bila ya shaka baadhi ya Aya zake zimebainika kua ni Tibba ya Maradhi tofauti ya Kimwili’

Ama kwa upande mmoja basi Hujjat Ul Islami Mujaddid Ad Din Imam Abu Hamid Ibn

Muhammad Ibn Muhammad Ibn Muhammad Al Ghazali Al Tusi Al Shafii anatuambia

kua miongoni mwa manufaa yanayohitajika kupatikana katika Quran basi ni kujua darja

za usomaji wake katika hali tofauti kwa kusema kua: ‘Amesema Amir ul Muuminina

Ali Ibn Abi Talib kua:

 ‘Yeyote yule atakaesoma Qur’an wakati akiwa amesimama kwenye Sala basi anapata thawabu 100 kwa kila herufi moja ya Qur’an, na

atakaesoma Qur’an wakati akiwa amekaa kitako ndani ya Sala basi hua ni mwenye

To read more about the Wenye Azma Thabit Zaidi Miongoni Mwa Mitume 2 book Click the download button below to get it for free

Report broken link
Support this Website

Click here to join our Telegram group for new Books

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *